SIFA 15 ZINAZOMFANYA MWANAMKE KUMPENDA MWANAUME.

SIFA 15 ZINAZOMFANYA MWANAMKE KUMPENDA MWANAUME.




Pengine watu wengi wamekuwa wakitafuta ni jinsi  gani wanaweza kupendwa na wasichana au wanawake. Niwazi kabisa kila mwanamke anachaguo lake kwa mwanaume ampendae.Huenda ukawa unavigezo kibao lakini akapenda mweyevigezo vichache. Vifuatavyo ni vigezo 15 ambavyo wasichana wengi hupenda kutoka kwa mwanaume.


1. Kujiamini



2. Mcheshi


3. Mwenye utashi

4. Anayetoa msaada unapohitajika

5. Anaetunza siri

6. Mwenye kujithamini

7. Mwenye malengo / makini  

8. Mwenye mawazo mapana  
9. Muwazi na mkweli   
10. Anayeridhika        
11. Aliyeshupavu na jasiri
12. Mwenye huruma 
13. Anaesamehe 
14. Hadhi na heshima 
Previous
Next Post »